HALI YAZIDI KUWA TETE MBEYA
MKASA wa baba kumuua mwanae kwa kumzika akiwa hai kutokana na mgogoro wa ndoa, umezidi kuibua mapya, baada ya mama mzazi wa marehemu ,Debora Riziki (3), kusimulia mkasa mzima .
![]() |
| Marehemu Debora Riziki miaka 3 enzi za uhai wake |
![]() |
| Riziki Mwangoka kulia anaetuhumiwa kumzika mtoto wake akiwa hai |
![]() |
![]() |
| Hapa maiti ya mtoto Debora ikiwa imetolewa nnje mara baada ya kufukuliwa ndani ya nyumba ya baba yake mzazi |
![]() |
| TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI TUNAZOZIONYESHA |
![]() |
![]() |
| Mwili wa marehemu Debora ukionyeshwa kwa mzazi na kudhibitisha kuwa ndiye mwenyewe aliyemfukia |
![]() |
| Mwili wa mtoto Debora ukiandaliwa kwa kuzikwa kwa heshima zote |
![]() |
| Mwili wa Debora tayari kwa kuzikwa |
![]() |
| Hatimae sasa Debora anazikwa |
![]() |
| Mara tu baada ya mazishi baba mzazi wa Debora anapelewa kituo cha polisi Tukuyu |
![]() |
| Mama mzazi wa marehemu Debora asimulia kisa chote |
| Mama mzazi wa Marehemu, Esther Mwambenja, alisema kabla ya tukio hilo kutokea kulikuwa na viashiria vingi vya mumewe kufanya ukatili |
| Bibi wa marehemu Debora |
| Baadhi ya waandishi Wa habari hii wakiendelea kupata historia fupi ya marehemu Debora toka kwa mama yake mzazi |















Post a Comment