Header Ads

KICHWA CHA MTU ALIYEFARIKI KIKIWA NA MIKONO MIWILI YAKUTWA KATIKA OFISI YA MKUU WA POLISI NCHINI KENYA.

kenya-police-morgue_08ee5.jpg
JESHI la Polisi Kenya wapo katika uchunguza baada ya kichwa cha mtu aliyeuawa kiliwa kimewekwa nje ya afisi ya mwenyekiti wa tume ya kitaifa ya polisi Johnston Kavuludi jijini Nairobi.
Kifurushi kimefungwa kwa karatasi ya plastiki, vilevile kilikuwa na mikono miwli ya binadamu iliyojaa damu. (P.T)
kando ya kifurishi hich
o kulikuwa na ilaani iliyoandiskwa ''Kavuludi wewe ndiye utakayefuata''.

Tangu uteuzi wake, kamishna huyo ameongoza harakati za kujaribu kuifanyia marekebisho idara ya polisi ambayo inadaiwa kuwa

fisadi zaidi Afrika Mashariki.

Kwa mujibu wa idara ya polisi, hakuna mshukiwa aliyekamatwa kauhusiana na tukio hilo na kuwa bado wangali wanachunguza mwili huo ulikuwa wa nani.

Katika miezi ya hivi karibuni kumekuwa na uhasama kati ya tume hiyo inayoongozwa na Kavuludi na ofisi ya mkuu wa polisi, huku zikilumbana kuhusu nani ana madaraka ya kuliendesha idara hiyo.


KWA Hisani ya Jumamtandablog.

No comments