Kala
Jeremiah msanii mwenye tunzo 3 za hip hop kutoka Kili Music Award 2013
leo amekula mkataba wa miezi 6 kutoka kampuni ya PEPSI kama balozi wa
soda hiyo. Kala amesema mkataba huo ameufurahia sana na amejisikia
faraja sana. Sasa tutaanza kumuona kwenye ma
Post a Comment