
Ule
wimbo uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa DJ CHOKA uliopewa
jina la STINGA LI ndio huu sasa umekufikia, Dj Choka baada ya kutoa
LATINO NATION sasa amekuja na wimbo mwingine wakufungia mwaka akiwa
amewaweka vijana wachache wanaofanya mziki wa bongo fleva wenye maadhi
ya Hip Hop. Pia katika wimbo huu ameweka vijana wawili ambao
hawajasikika sehemu yoyote namzungumzia mwanadada anayeitwa MIS RIZZY
pamoja na kijana anayeitwa PLUTO.
Wimbo umefanyika pale BHIT’Z STUDIO na Prod Pancho Latino pamoja na Mixing ya wimbo.
Post a Comment