Header Ads

Check video ya kwanza ya Young Killer akiwa kamshirikisha Barakah Da Prince.

kila 
Ingawa maisha yanakua na historia ndefu sana na pengine kama ukiwa umefanikiwa kwa kiasi fulani mtu wangu wa nguvu unaweza hata kushangaa ukicheki ulipotokea,hapa kuna video ya Super Nyota wa 2012 Young Killer lakini kwa kipindi hicho alikuwa anatumia jina la Lil K.
Kingine kwenye hii video ni msanii mwingine ambaye kwa sasa ni miongoni mwa wasanii wanaotajwa sana  kufanya makubwa sana kwenye muziki wa Bongo Fleva,huyu nae anaitwa Barakah Da Prince lakini kwa kipindi hicho alikua anatumia Dogo Baraka ni video iliyofanywa mwaka 2007.
Huu ni mwaka wa 14 tangu video hii waitoe kwa kuangalia video hii umegundua nini kwa hawa jamaa wawili,andika comment ili baadae Young Killer na Barakah Da Prince wakipita hapa  wasome.
Bonyeza play kutazama.

No comments