Picha Mbali Mbali Za Utengenezwaji wa Video Mpya ya Berry Black
Mfalme kutoka Zanzibar Berry Black ambaye kwa sasa kazi zake nyingi
anafanyia katika Studio za Mkubwa na Wanawe zilizoko Temeke, anatarajia
kuachia Mkwaju wake Mpya ambao amewashirikisha kinadada 2 wenye uwezo wa
kuzitumia sauti zao Digna kutoka JJ Band pamoja na Alice kutoka THT.
Video hii ya Berry Black imefanywa na Director Pablo na pengine baada ya sikukuu ya Idd kupita unaweza kuiona kwenye luninga yako.
CREDITS TO: HARAKATIZABONGO.COM
Video hii ya Berry Black imefanywa na Director Pablo na pengine baada ya sikukuu ya Idd kupita unaweza kuiona kwenye luninga yako.
CREDITS TO: HARAKATIZABONGO.COM














Post a Comment