Header Ads

Breaking News : CUF Yatangaza Kutoshiriki Marudio Ya Uchaguzi Zanzibar


IMG_0514CHAMA wananchi CUF kimesema hakitoshirikia uchaguzi wa marudio Visiwani Zanzibar uliopangwa kufanyika tarehe 20 marchi ya mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mwenyekiti wa kamati ya uongozi wa CUF, Twaha Taslma, amesema baraza la uongozi wa chama hicho kulichokutana kwa dhalura ili kujadili hatua iliyotangazwa na mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC)Jecha Salum Jecha kuhusu kurudiwa kwa uchaguzi huo,IMG_0521mwenyekiti wa kamati ya uongozi wa CUF,Twaha Taslma akizungumza na waandishi wa habari mda huu jijini Dar es Salaam,akisoma Tamko la CUF kuhusu marudio ya uchaguzi Zanzibar

Amesema Baraza hilo limefikia hatua hiyo ya kutoshiriki uchaguzi huo kwa madai kuwa mwenyekiti wa ZEC anafanya uhuni kwa kufuta uchaguzi wa mwanzo ambao anazidi dai ulikuwa huru na wahaki.

“Baraza kwa kauli moja tumefikia msimamo wa pamoja wa kutoshirika uchaguzi wa marudio,kwakuwa uchaguzi wa octoba 25 ulikuwa wa haki na hadi waaangalizi wa kimataifa walisema uchaguzi ulikuwa wa haki”

Video ya tamko hilo itakujia hivi punde kupitia cheneli yetu ya mtembezitv youtube.IMG_0484CREDITS TO : MTEMBEZI.COM

No comments