“Kilichotokea Zanzibar Kimeihuzunisha Dunia” Asema Benard Membe
Kilichotokea Zanzibar kimeihuzunisha dunia,” amesema Aliyekuwa Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. “Watanzania
waelewe, kilichoishitua dunia ni kule kufuta matokeo kwa ujumla wake.
Yaani majimbo yote hakuna hata moja lililofanya vizuri? Hapa ndipo
tunapata kigugumizi. Sasa tunakwenda wapi, tunafanya kitu gani?
Wanaoungana na Mh. Membe wacomment neno 'YES' na wanaompinga waseme 'NO'
Wanaoungana na Mh. Membe wacomment neno 'YES' na wanaompinga waseme 'NO'

Post a Comment