PENZI JIPYA LA WEMA SEPETU NA MKONGO LAIBUKA...
PATAMU: motomoto hapa mjini ni kuhusu mkongo wa wema sepetu
ajulikanae kama Apocalypse na Wema Sepetu, Wawili hawa inasemekana wako
pamoja kimapenzi kiasi cha kupiga picha na video na kuziweka mitandaoni
huko Instagram na Snapchat...
Tetesi hizi zinasema kwa sasa Idriss Sultan hana chake
baada ya mimba kutoka, mkongo huyo inasemekana ana mavumba ya kutosha na
alishawahi kutoka na mrembo Huddah Monroe wa Kenya.....
Toka habari za mimba kutoka Idriss Sultan ama Wema Sepetu
hawajawahi kuweka picha zao kwenye page ya Instagram kama walivyokuwa
wanafanya zamani kitu ambacho kinaongeza tetesi za kuachana kwao....Leo
Idris amempost demu mwingine ambani ni rafiki yake kwa kile
kinachoonyesha kama kupoza machungu ya Wema na Mkongo kupost ma video
yao.....
Post a Comment