Jinsi Ya Kuifanya Computer Yako Iwe Faster..!
Zipo sababu nyingi zinazoweza kupelekea computer kuwa slow.Chache kati ya nyingi ni.
1. Udogo wa RAM
2. Udogo wa Processor
3. Ku-run program nying kwa pamoja
4. Ku-install program nyingi kwenye PC
5. Temporary files
JINSI YA KUTATUA TATIZO HILO.
1. Bonyeza windows button+R (kwa pamoja) then andika
%temp%
then bonyeza ENTER
Yatakuja mafile na mafolder mengi bonyeza CTRL+A then Bonyeza delete (del)
2. Bonyeza windows button+R (kwa pamoja) then andika temp
then bonyeza ENTER
Yatakuja mafile na mafolder mengi bonyeza CTRL+A then Bonyeza delete (del)
3. Nenda kweny my computer then local disk C then right
click
then chagua properties, then disk cleanup then iache
icalculate.
kitafunguka ki-page kidogo weka tick upande wa
kushoto then bonyeza ok.
Itakuuliza are you sure you want to
delete? Click yes then iache icalculate
mpaka imalize then
funga.
4. Nenda kweny my computer then properties then advanced
setting then advanced then setting (ya kwanza) then Advanced
then change then
utaona tick hapo kwenye automatically.....
Toa hiyo tick then shuka chini kwenye custom then kwenye
initial weka ukubwa wa ram yako mfano RAM yako ni 2 GB
ichukue hiyo zidisha na 1024. (Hii inamaana GB1 ni MB1024)
jibu utakalopata
jaza hapo.
Then kwenye maximum chukua jibu ulilopatahapo juu lizidishe
mara 2 then jaza hapo.(hapa unachokifanya ni kuifanya RAM
yako itumike yote)
Then bonyeza SET Then bonyeza apply
then
ok. Itakuomba kurestat. Accept then bonyeza ok itazima itawaka
tena.[kama hujui
jinsi ya kuipata RAM yako nenda kwenye my
computer then properties then angalia
sehem wameandika
RANDOM ACCESS MEMORY(RAM) utaweza kuiona]
5. Epuka kujaza program nyingi ambazo huzitumii. Unistall
program ambazo hazina kazi.
Baadhi picha utakazo ziona ktk process
<kwa tricks mbalimbali za computer tembelea>
Pia unaweza kujipatia Kitabu kizuri kabisa cha computer "Introduction to Information Technology and Systems"
(By Kubalyenda, S & Njovu, S)
E-mail: sirkubalyendas@gmail.com
Phone: +255689-606070
Zipo sababu nyingi zinazoweza kupelekea computer kuwa slow.Chache kati ya nyingi ni.
1. Udogo wa RAM
2. Udogo wa Processor
3. Ku-run program nying kwa pamoja
4. Ku-install program nyingi kwenye PC
5. Temporary files
JINSI YA KUTATUA TATIZO HILO.
1. Bonyeza windows button+R (kwa pamoja) then andika
%temp%
then bonyeza ENTER
Yatakuja mafile na mafolder mengi bonyeza CTRL+A then Bonyeza delete (del)
2. Bonyeza windows button+R (kwa pamoja) then andika temp
then bonyeza ENTER
Yatakuja mafile na mafolder mengi bonyeza CTRL+A then Bonyeza delete (del)
3. Nenda kweny my computer then local disk C then right
click
then chagua properties, then disk cleanup then iache
icalculate.
kitafunguka ki-page kidogo weka tick upande wa
kushoto then bonyeza ok.
Itakuuliza are you sure you want to
delete? Click yes then iache icalculate
mpaka imalize then
funga.
4. Nenda kweny my computer then properties then advanced
setting then advanced then setting (ya kwanza) then Advanced
then change then
utaona tick hapo kwenye automatically.....
Toa hiyo tick then shuka chini kwenye custom then kwenye
initial weka ukubwa wa ram yako mfano RAM yako ni 2 GB
ichukue hiyo zidisha na 1024. (Hii inamaana GB1 ni MB1024)
jibu utakalopata
jaza hapo.
Then kwenye maximum chukua jibu ulilopatahapo juu lizidishe
mara 2 then jaza hapo.(hapa unachokifanya ni kuifanya RAM
yako itumike yote)
Then bonyeza SET Then bonyeza apply
then
ok. Itakuomba kurestat. Accept then bonyeza ok itazima itawaka
tena.[kama hujui
jinsi ya kuipata RAM yako nenda kwenye my
computer then properties then angalia
sehem wameandika
RANDOM ACCESS MEMORY(RAM) utaweza kuiona]
5. Epuka kujaza program nyingi ambazo huzitumii. Unistall
program ambazo hazina kazi.
Baadhi picha utakazo ziona ktk process
Pia unaweza kujipatia Kitabu kizuri kabisa cha computer "Introduction to Information Technology and Systems"
(By Kubalyenda, S & Njovu, S)
E-mail: sirkubalyendas@gmail.com
Phone: +255689-606070
Post a Comment