MTOTO MMOJA WA MIAKA 4 HUKO UINGEREZA AFA NJAA
Wakati wa kesi hio daktari mmoja alisema mwili wa mtoto Daniel Pelka ulifanana na waathiriwa wanaofungiwa kwa jela bila chakula.
Kumekua na shutuma za umma kutaka kujua sababu za mtoto huyo kutookolewa licha ya mwili wake kupatikana na majeraha.
Wakati mmoja mtoto huyo alionekana akitafuta chakula kutoka kwa majaa ya taka. Wakati alipokufa mtoto huyo alikua na uzani wa kilo 10 ambao huwa ni uzani wa mtoto mchanga wa mwaka mmoja.
Post a Comment