Kupitia mtandao wa
Instagram, msanii gumzo kwenye sanaa ya bongo fleva nchini, Diamond
Platnumz ametoa shukrani zake za dhati kwa team yake kwa kuweza
kufanikisha zoezi lake la kutoa sadaka kwa ajili ya eid ul hidaya.
Msanii huyo alitoa shukrani kwa watu wake wa Burundi , Mombasa , Dar es
salaam, Zanzibar Kigoma na Rwanda pia.
Post a Comment