Mbunge Wa Geita Vijijini Aitaka Serikali Ihalalishe Bangi Kama Zao La Biashara
Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa Geita Vijijini"Msukuma, amesema
haoni sababu ya Serikali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara
maana haoni madhara yake.
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biashara.
Wewe Una Maoni Gani!
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biashara.
Wewe Una Maoni Gani!
Post a Comment