Header Ads

Muhimu : Madhara Anayopata Mwanaume Anapomuingilia Mwanamke Kinyume Na Maumbile

Madhara anayoyapata mwanaume anayependa mchezo huo wa kufanya Mapenzi kinyume na maumbile ni kama ifuatavyo:-

Kwanza: Husababisha kusinyaa au kuweka makovu kwenye njia ya haja ndogo.

Pili: Njia ya haja ndogo kuziba kiasi au kuziba kabisa.

Tatu: Kupata saratani (kansa) ya tezi za figo (prostate gland).
Nne: Kupata magonjwa sugu ya uti wa mgongo.
 Tano: Kuharisha.  Sita: Maambukizi ya VVU ambapo mwisho wake ni Upungufu wa Kinga Mwilini (Ukimwi).
Sita: Baadaye mhusika kupata msongo wa mawazo au sonona kwa kujutia tendo hilo.

No comments