Muhimu : Madhara Anayopata Mwanaume Anapomuingilia Mwanamke Kinyume Na Maumbile
Madhara anayoyapata mwanaume anayependa mchezo huo wa kufanya Mapenzi kinyume na maumbile ni kama ifuatavyo:- Kwanza: Husababisha kusinyaa au kuweka makovu kwenye njia ya haja ndogo.
Pili: Njia ya haja ndogo kuziba kiasi au kuziba kabisa.
Tatu: Kupata saratani (kansa) ya tezi za figo (prostate gland).
Nne: Kupata magonjwa sugu ya uti wa mgongo.
Tano: Kuharisha. Sita: Maambukizi ya VVU ambapo mwisho wake ni Upungufu wa Kinga Mwilini (Ukimwi).
Sita: Baadaye mhusika kupata msongo wa mawazo au sonona kwa kujutia tendo hilo.
Post a Comment