Dar Live 'Yawaka Moto' Na Usiku Wa Uswazi
Msaga Sumu akiwachizisha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.
Juma Nature akiporomosha burudani ya aina yake wakati wa shoo ya Usiku wa Uswazi usiku wa kuamkia leo.
Mamaa wa Chura, Snura akifanya yake stejini.
Staa wa Bongo Muvi, Gabo Zigamba akionyesha ‘machejo’ stejini.
Man Fongo ‘Mzee wa Hauna’ akiwadatisha wapenzi wa burudani Dar Live.
MC Soud mkali wa kibao cha ‘Naipenda Simba’ akiwapa raha mashabiki.
Shabiki akimtunza MC Soud baada ya kumkonga roho.
MKONGWE wa Bongo...
Global Publishers
Post a Comment