Zari Akataa Kuitwa Mzee Na Kudai Yeye Ni Mrembo
Shemeji wetu wa kiganda kupitia msanii wetu wa hapa Diamond
Platnumz. "zari the boss lady " ametoa jibu kwa watu waiokuwa wanatupia
maneno na kumuita yeye ni mzee. Bongohotz imekuwekea jibu la kashfa
hiyo ambapo zari alijibu....
‘’Naona kwenye Instagram wakiniita mie mzee,lakini
nitafanyeje,lakini nikijiangalia kwenye kioo najiona mrembo
sana,’’Alisema Zari.
Post a Comment